1 Samueli 5:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini baada ya kulipeleka huko Gathi, Mwenyezi-Mungu akauadhibu mji huo, akisababisha hofu kuu mjini, na akawapiga wanaume wa mji huo, vijana kwa wazee, kwa kuwaletea majipu.

1 Samueli 5

1 Samueli 5:6-12