1 Samueli 4:20 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, alipokuwa anakufa, wanawake waliokuwa wanamsaidia walimwambia, “Usiogope, maana umejifungua mtoto wa kiume.” Lakini yeye hakujibu neno, wala hakuwasikiliza.

1 Samueli 4

1 Samueli 4:11-21