1 Samueli 4:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Yule mtu akamwambia Eli, “Mimi nimetoka vitani sasa hivi; nimekimbia kutoka vitani leo.” Eli akamwuliza, “Mwanangu, mambo yalikuwaje huko?”

1 Samueli 4

1 Samueli 4:12-21