1 Samueli 4:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Wafilisti walipiga vita, na Waisraeli walishindwa na kukimbia kila mtu nyumbani kwake. Siku hiyo kulikuwa na mauaji makubwa kwani askari wa miguu 30,000 wa Israeli waliuawa.

1 Samueli 4

1 Samueli 4:7-18