1 Samueli 30:23 Biblia Habari Njema (BHN)

Daudi akawaambia, “Sivyo ndugu zangu. Hamwezi kufanya hivyo kwa kile ambacho Mwenyezi-Mungu ametupa. Alitulinda salama, na akalitia mikononi mwetu genge lililokuja kutushambulia.

1 Samueli 30

1 Samueli 30:18-30