1 Samueli 30:20 Biblia Habari Njema (BHN)

Pia Daudi aliyarudisha makundi yote ya kondoo na ng'ombe, na watu wake wakawa wanaswaga wanyama hao wakiwatanguliza mbele ya wanyama wale wengine wakisema, “Nyara za Daudi.”

1 Samueli 30

1 Samueli 30:11-30