1 Samueli 30:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Walikuwa wameteka wanawake na watu wote waliokuwa mjini humo, wakubwa kwa wadogo. Hao waliowateka, waliondoka nao wakiwa hai, bila ya kumwua mtu yeyote.

1 Samueli 30

1 Samueli 30:1-8