1 Samueli 30:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Daudi aliwapiga tangu asubuhi hadi siku ya pili jioni. Hakuna mwanamume yeyote aliyenusurika isipokuwa vijana 400 ambao walipanda ngamia na kukimbia.

1 Samueli 30

1 Samueli 30:13-26