1 Samueli 3:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha Samueli akamwendea Eli kwa haraka, akamwambia, “Nimekuja kwani umeniita.” Lakini Eli akamwambia, “Mimi sijakuita. Nenda ukalale.” Samueli akarudi na kulala.

1 Samueli 3

1 Samueli 3:1-15