1 Samueli 29:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Akishi akamwambia, “Najua kuwa huna lawama mbele yangu kama malaika wa Mungu. Hata hivyo, makamanda wa Wafilisti wamesema, ‘Kamwe asiende pamoja nasi vitani’.

1 Samueli 29

1 Samueli 29:1-11