1 Samueli 29:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Hivyo, kesho yake asubuhi, Daudi pamoja na watu wake waliondoka kurudi katika nchi ya Wafilisti. Lakini hao Wafilisti wakaenda Yezreeli.

1 Samueli 29

1 Samueli 29:7-11