1 Samueli 28:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Maana, wewe hukuitii sauti ya Mwenyezi-Mungu, wala hukuitekeleza ghadhabu yake dhidi ya Waamaleki. Ndio maana leo Mwenyezi-Mungu amekutendea mambo haya.

1 Samueli 28

1 Samueli 28:13-22