1 Samueli 27:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Katika muda huo, Daudi na watu wake waliwashambulia Wageshuri, Wagirizi na Waamaleki, ambao walikuwa wenyeji wa nchi hiyo tangu zamani. Aliwashambulia katika nchi yao mpaka Shuri, mpakani na Misri.

1 Samueli 27

1 Samueli 27:1-11