1 Samueli 26:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Shauli akamwambia Daudi, “Mungu na akubariki mwanangu Daudi. Utafanya mambo makuu, nawe utafanikiwa katika yote.” Basi, Daudi akaenda zake; Shauli naye akarudi nyumbani kwake.

1 Samueli 26

1 Samueli 26:18-25