1 Samueli 26:20 Biblia Habari Njema (BHN)

Usiniache nife katika nchi ya kigeni, mbali na Mwenyezi-Mungu. Kwa nini wewe mfalme wa Israeli umetoka kuyatafuta maisha yangu kama mtu anayewinda kware milimani?”

1 Samueli 26

1 Samueli 26:10-23