1 Samueli 26:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Akaliita kwa sauti jeshi la Shauli na Abneri mwana wa Neri akisema, “Abneri, je, unanisikia?” Abneri akauliza, “Ni nani wewe unayemwita mfalme?”

1 Samueli 26

1 Samueli 26:6-23