1 Samueli 25:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Ukiwauliza, watakuambia. Sasa nakuomba vijana wangu hawa wapate kibali mbele yako, kwani tumefika wakati wa sikukuu. Tafadhali uwapatie chochote ulicho nacho watumishi wako hawa nami mwanao Daudi.’”

1 Samueli 25

1 Samueli 25:1-14