1 Samueli 25:42 Biblia Habari Njema (BHN)

Abigaili alifanya haraka, akainuka na kupanda juu ya punda wake, akifuatana na watumishi wake wa kike watano, akaenda na watumishi wa Daudi; naye akawa mke wa Daudi.

1 Samueli 25

1 Samueli 25:33-44