1 Samueli 25:28 Biblia Habari Njema (BHN)

Nakuomba unisamehe mimi mtumishi wako. Mwenyezi-Mungu atakupa jamaa imara kwa sababu, wewe bwana wangu, unapigana vita vya Mwenyezi-Mungu. Wakati wote wa maisha yako usipatikane na baa lolote.

1 Samueli 25

1 Samueli 25:19-38