1 Samueli 25:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Kijana mmoja wa Nabali, akamwambia Abigaili, mkewe Nabali, “Daudi alituma wajumbe kutoka nyikani ili kumsalimu bwana wetu. Lakini yeye aliwatukana.

1 Samueli 25

1 Samueli 25:4-19