1 Samueli 25:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha Nabali akawajibu watumishi wa Daudi, “Daudi ni nani? Mwana wa Yese ni nani? Siku hizi kuna watumishi wengi wanaowakimbia mabwana zao.

1 Samueli 25

1 Samueli 25:1-14