1 Samueli 24:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Shauli alipokuwa anasafiri, alifika kwenye pango moja lililokuwa karibu na zizi la kondoo, akaingia humo pangoni ili kujisaidia. Daudi na watu wake walikuwa wameketi ndani kabisa ya pango hilo.

1 Samueli 24

1 Samueli 24:1-4