1 Samueli 23:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Shauli alipoambiwa kuwa Daudi amekwisha fika Keila, akasema, “Mungu amemtia mikononi mwangu kwani amejifungia mwenyewe kwa kuingia katika mji wenye malango yenye makomeo.”

1 Samueli 23

1 Samueli 23:2-15