1 Samueli 23:26 Biblia Habari Njema (BHN)

Shauli na watu wake walikuwa upande mmoja wa mlima, na Daudi na watu wake walikuwa upande mwingine wa mlima. Daudi alipokuwa anaharakisha kukimbia, Shauli naye alikuwa anamkaribia kumkamata Daudi.

1 Samueli 23

1 Samueli 23:16-29