1 Samueli 23:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Daudi akamwomba Mwenyezi-Mungu shauri, “Je, niende kuwashambulia Wafilisti hawa?” Mwenyezi-Mungu akamjibu, “Ndiyo, nenda ukawashambulie Wafilisti na kuuokoa mji wa Keila.”

1 Samueli 23

1 Samueli 23:1-9