1 Samueli 23:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Shauli alipokuwa bado huko Gibea, Wazifu wakamwendea na kumwambia, “Daudi anajificha katika nchi yetu kwenye ngome huko Horeshi, kwenye mlima Hakila, ulio upande wa kusini wa Yeshimoni.

1 Samueli 23

1 Samueli 23:13-29