1 Samueli 23:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Daudi alibaki ngomeni jangwani, katika nchi ya milima ya mbuga za Zifu. Shauli alimtafuta kila siku, lakini Mungu hakumtia Daudi mikononi mwa Shauli.

1 Samueli 23

1 Samueli 23:11-22