1 Samueli 23:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Daudi akamwuliza, “Je, wakazi wa Keila watanitia mikononi mwa Shauli, mimi pamoja na watu wangu?” Mwenyezi-Mungu akamjibu, “Watakutia mikononi mwake.”

1 Samueli 23

1 Samueli 23:7-17