1 Samueli 22:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Shauli akamwambia, “Kwa nini wewe na Daudi mwana wa Yese, mmekula njama dhidi yangu? Kwa nini ulimpatia mikate na upanga, halafu ukamwombea kwa Mungu? Kwa sababu hiyo, leo ameniasi na ananivizia.”

1 Samueli 22

1 Samueli 22:3-15