1 Samueli 21:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Kuhani Ahimeleki akamwambia, “Hapa sina mkate wa kawaida. Ninayo tu ile mikate mitakatifu. Mnaweza kupewa mikate hiyo ikiwa watu wako hawajalala na wanawake hivi karibuni.”

1 Samueli 21

1 Samueli 21:3-7