1 Samueli 21:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Daudi akamjibu, “Niko hapa kutokana na amri ya mfalme. Aliniambia nisimweleze mtu yeyote juu ya kile ambacho amenituma. Nimeagana na watu wangu kwamba tukutane mahali fulani.

1 Samueli 21

1 Samueli 21:1-3