1 Samueli 20:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Yonathani akamjibu, “Hilo na liwe mbali nawe. Hutakufa. Baba yangu hafanyi jambo lolote, liwe kubwa au dogo, bila ya kunieleza. Hata jambo hili hawezi kunificha. Sivyo ilivyo hata kidogo.”

1 Samueli 20

1 Samueli 20:1-8