1 Samueli 2:35 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha, nitajiinulia kuhani mwingine mwaminifu atakayefanya kulingana na yale yaliyomo moyoni na akilini mwangu. Nitamjengea ukoo imara, naye atahudumu daima mbele ya mfalme wangu.

1 Samueli 2

1 Samueli 2:27-36