1 Samueli 2:20 Biblia Habari Njema (BHN)

Eli aliwabariki Elkana na mkewe, akisema, “Mwenyezi-Mungu na akupe wewe Elkana watoto wengine kwa mwanamke huyu ili wachukue mahali pa yule uliyempa Mwenyezi-Mungu.” Kisha wao hurudi nyumbani.

1 Samueli 2

1 Samueli 2:11-29