1 Samueli 19:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Baadaye kulikuwa na vita tena kati ya Wafilisti na Waisraeli. Daudi alitoka akapigana na Wafilisti, akawaua Wafilisti wengi na waliosalia wakamkimbia.

1 Samueli 19

1 Samueli 19:1-12