1 Samueli 19:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Yonathani alimsifu Daudi mbele ya baba yake, akamwambia, “Usitende dhambi dhidi ya mtumishi wako Daudi kwani yeye hajatenda dhambi yoyote dhidi yako; matendo yake yote anapokutumikia daima yamekuwa mema kwako.

1 Samueli 19

1 Samueli 19:1-12