1 Samueli 19:20 Biblia Habari Njema (BHN)

Ndipo Shauli alipopeleka watu wakamkamate. Lakini walipolikuta kundi la manabii likitabiri na Samueli akiliongoza, roho ya Mungu iliwajia wale watumishi wa Shauli, nao pia wakaanza kutabiri.

1 Samueli 19

1 Samueli 19:17-21