1 Samueli 19:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Halafu Shauli akamwuliza Mikali, “Kwa nini umenidanganya? Umemwacha adui yangu atoroke?” Naye Mikali akamjibu Shauli, “Aliniambia, ‘Niache niende nisije nikakuua.’”

1 Samueli 19

1 Samueli 19:8-24