1 Samueli 19:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Usiku huo, Shauli alituma watu nyumbani kwa Daudi wamwangalie kama yuko ili apate kumwua asubuhi. Lakini Mikali, mke wa Daudi akamwambia Daudi, “Kama huyasalimishi maisha yako usiku huu kesho utauawa.”

1 Samueli 19

1 Samueli 19:10-13