1 Samueli 18:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Shauli hakupendezwa na maneno ya wimbo huo, hivyo akakasirika sana. Akasema, “Wamempa Daudi makumi elfu, lakini mimi wamenipa maelfu tu. Lililobakia ni kumpa Daudi ufalme.”

1 Samueli 18

1 Samueli 18:1-15