1 Samueli 17:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Mpini wa mkuki wake ulikuwa kama mti wa mfumanguo, na chembe cha mkuki huo, kilikuwa na uzito wa kilo saba. Ngao yake ilibebwa na mtu mwingine aliyemtangulia.

1 Samueli 17

1 Samueli 17:1-13