1 Samueli 17:57 Biblia Habari Njema (BHN)

Mara tu Daudi aliporudi kambini baada ya kumuua Goliathi, Abneri alimchukua na kumpeleka kwa Shauli. Wakati huo Daudi alikuwa bado amechukua kichwa cha Goliathi mikononi mwake.

1 Samueli 17

1 Samueli 17:47-58