1 Samueli 17:55 Biblia Habari Njema (BHN)

Shauli alipomwona Daudi akienda kumkabili yule Mfilisti Goliathi, alimwuliza Abneri, kamanda wa jeshi lake, “Abneri, huyu ni kijana wa nani?” Abneri alijibu, “Mfalme, kama uishivyo, mimi sijui.”

1 Samueli 17

1 Samueli 17:50-58