1 Samueli 17:45 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Daudi akamwambia Goliathi, “Wewe unanijia kwa upanga, mkuki na sime. Lakini mimi ninakujia kwa jina la Mwenyezi-Mungu wa majeshi, Mungu wa askari wa Israeli, ambaye wewe umemtukana.

1 Samueli 17

1 Samueli 17:39-47