1 Samueli 17:43 Biblia Habari Njema (BHN)

Goliathi akamwuliza Daudi, “Sasa, hiyo fimbo ni ya nini? Unadhani mimi ni mbwa hata unijie kwa fimbo?” Mfilisti huyo akamlaani Daudi kwa miungu yake.

1 Samueli 17

1 Samueli 17:38-51