1 Samueli 17:40 Biblia Habari Njema (BHN)

Daudi akachukua fimbo yake mkononi, akajichagulia mawe matano mazuri kutoka kwenye kijito, akayatia katika mfuko wake wa mchungaji. Kombeo lake likiwa tayari mkononi mwake, akaanza kumwendea Goliathi Mfilisti.

1 Samueli 17

1 Samueli 17:34-47