1 Samueli 17:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Kutoka kwenye kambi ya Wafilisti, alijitokeza shujaa mmoja aitwaye Goliathi, mwenyeji wa mji wa Gathi. Urefu wake ulikaribia mita tatu.

1 Samueli 17

1 Samueli 17:1-14