1 Samueli 17:36 Biblia Habari Njema (BHN)

Mimi mtumishi wako nimekwisha ua simba wengi na dubu wengi. Sasa, hata yule Mfilisti asiyetahiriwa, ambaye ameyatukana majeshi ya Mungu aliye hai, atakuwa kama hao.

1 Samueli 17

1 Samueli 17:28-38