1 Samueli 16:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha, Yese akamwita Abinadabu na kumleta mbele ya Samueli. Lakini Samueli akasema, “Wala huyu hakuchaguliwa na Mwenyezi-Mungu.”

1 Samueli 16

1 Samueli 16:6-17