1 Samueli 16:23 Biblia Habari Njema (BHN)

Kila mara, yule roho mwovu kutoka kwa Mungu alipomjia Shauli, Daudi alichukua kinubi chake na kuanza kukipiga, na roho huyo alimwacha Shauli, naye akaburudika na kupata nafuu.

1 Samueli 16

1 Samueli 16:21-23